Edit Content

About Us

TAMWA is a national level Non-Governmental Organization known as Tanzania Media Women’s Association formed in 1987. TAMWA Zanzibar became fully self-governing and operational in both Isles of Unguja and Pemba since 2004. In January 2007, it attained its own separate registration.

Contact Info

Mkurugenzi wa TAMWA ZNZ, Dkt. Mzuri Issa, leo Septemba 14 ameungana na wadau nchini kwenye maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani.

Mkurugenzi wa TAMWA ZNZ, Dkt. Mzuri Issa, leo Septemba 14 ameungana na wadau nchini kwenye maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani.

Akichangia mada katika mjadala kwenye maadhimisho hayo amesema, “vyama vingi vya siasa haviwasaidii Wanawake kundokana na viti maalum.”

“Kuna mtu unakuta yupo amegombea kiti maalum miaka mitano hii na mingine na bado yupo hapo hapo wakati inatakiwa mtu agombee miaka mitano ajifunze kisha atoke aende akagombee jimboni.”

Je, ni yapi maoni yako kuhusu nafasi za viti maalum kwa Wanawake?

mwanamkenikiongozi @norwayintz @gasparycharles @humanrightstz

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Subscribe to our
News and Presses

***We Promise, no spam!

A national level Non-Governmental Organization known as Tanzania Media Women’s Association formed in 1987.The registration number is 493 under Zanzibar Society Act No. 6 of 1995

We’re Available

Monday : 08.00 - 10.00
Tuesday : 08.00 - 10.00
Wednesday : 08.00 - 10.00
Thursday : 08.00 - 10.00
Friday : 09.00 - 07.00
Saturday : 10.00 - 05.00
Sunday : 10.00 - 05.00