TERMS OF REFERENCE (TOR) TO CUNDUCT MEDIA GAP ANALYSIS: WOMEN’S EQUALITY AND LEADERSHIP OF NATURE-BASED CLIMATE ADAPTATION IN ZANZIBAR. Post Title: Consultant Project Title: ZanzAdapt Project Location: Zanzibar Assignment period: 20/30 days Post Date: 10th May, 2024 Deadline: 20th May…
DATE OF ISSUE: 22nd APRIL, 2024 1.0 INTRODUCTION: Tanzania Media Women’s Association (TAMWA) was established in 1987. TAMWA ZNZ became fully self-governing and operational in both Isles of Unguja and Pemba in 2004. TAMWA’s mission is to advocate for women’s and…
PRESS RELEASEDate: October 25, 2025ZAMECO Regrets Restrictions on Media Outlets, Defends the Right to AccessInformation during the Election PeriodZanzibar Media Committee (ZAMECO) expresses deep concern over the statement issuedby the Zanzibar Broadcasting Commission (ZBC) listing several online media outletsaccused of…
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITAREHE: 25/10/2025ZAMECO Yalaani Hatua za Kudhibiti Vyombo vya Habari, Yatetea Haki yaKupata Taarifa Kipindi cha Uchaguzi.Kamati ya Wataalamu wa Masuala ya Habari Zanzibar (ZAMECO) inasikitishwa na hatuaya Tume ya Utangazaji ya Zanzibar kutoa taarifa inayoweka orodha…
05/10/2025TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIVyama vya siasa vyahimizwa kuzingatia ushirikishwaji wa watuwenye ulemavu kwenye mikutano ya kampeni.Taasisi zinazoshughulikia masuala ya uongozi wa wanawake vinaviomba vyama vya siasakuzingatia na kuhakikisha ushiriki wa watu wenye ulemavu katika mikutano ya kampenizinazoendelea ili kuweza…
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIMAADHIMISHO YA SIKU YA HAKI YA KUJUA DUNIANIZanzibar- Sept 28, 2025Siku ya haki ya kujua duniani ni siku muhimu hasusan katika kuimarisha ufahamu wa wananchina waandishi wa habari kama nguzo kuu za kuimarisha demokrasia, utawala bora…
21/09/2025TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIJAMII YASHAURIWA KUACHA KUWACHUKUA WATOTO KWENYEMIKUTANO YA KAMPENI ZA UCHAGUZIJamii imeshauriwa kuacha tabia ya kuwachukua watoto kwenye mikutano ya kampenizinazoendelea kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.Indhari hiyo imetolewa na Taasisi zinazojihusisha na masuala ya wanawake na…
11/09/2025 Jumla ya wanachama 25 kutoka vikundi 16 vya kuweka na kukopa katika Wilaya ya Kusini Unguja wamepatiwa mafunzo ya siku mbili ya kuchagua, kupanga na kusimamia biashara, chini ya Programu ya Mashirikiano ya Pamoja kwa ajili ya Haki za…
Wanawake wagombea wapatiwa mafunzo ya kujiamini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA-ZNZ), Dkt. Mzuri Issa Ali, amesema changamoto wanazokutana nazo wanawake wanapogombea nafasi za kisiasa ni pamoja na kukatishwa tamaa na udhalilishaji…
TERMS OF REFERENCE (TOR) FOR A MESSAGE DESIGNER TO DEVELOP SPECIAL MESSAGES FOR PUBLICATIONS AS A MOBILIZATION STRATEGY ON WOMEN’S PARTICIPATION IN LEADERSHIP PROCESSES Post Title: Message Designer Task Assigned: Development of special mobilization messages and designs for publications promoting…
CADiR kuwezesha Elimu, Afya na Uchumi kwa Watu Wenye Ulemavu.Kuzinduliwa kwa program mpya ya kukuza na kuimarisha haki, fursa na ustawi wa watu wenye ulemavu (CADiR) Tanzania kutasaidia watu wenye ulemavu kufikiwa na kupata fursa sawa na watu wengine bila…
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIMashirika ya Wanawake yakoshwa na kasi ya wanawakekugombea Uraisi na Makamu wa Raisi20/8/2025Mashirika yanayojihusisha na masuala ya wanawake na uongozi Zanzibar yanawapongezawanawake 13 nchini wanaotegemewa kugombea nafasi ya uraisi na Makamu wa Raisikatika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika…
								
      
      
      
      
      
      
								