TERMS OF REFERENCE (TOR) TO CUNDUCT MEDIA GAP ANALYSIS: WOMEN’S EQUALITY AND LEADERSHIP OF NATURE-BASED CLIMATE ADAPTATION IN ZANZIBAR. Post Title: Consultant Project Title: ZanzAdapt Project Location: Zanzibar Assignment period: 20/30 days Post Date: 10th May, 2024 Deadline: 20th May…
DATE OF ISSUE: 22nd APRIL, 2024 1.0 INTRODUCTION: Tanzania Media Women’s Association (TAMWA) was established in 1987. TAMWA ZNZ became fully self-governing and operational in both Isles of Unguja and Pemba in 2004. TAMWA’s mission is to advocate for women’s and…
ASASI ZA KIRAIA ZANZIBAR ZAKUTANA NA JESHI LA POLISI KUZUNGUMZIA HAKI ULINZI NA USALAMA KWA MAKUNDI MAALUM KIPINDI CHA UCHAGUZI MWAKA HUU 2025.JESHI LA POLISI ZANZIBAR limezitoa hofu Asasi za Kiraia zinazoendelea kusimamia haki za Wanawake, Vijana na Watu wenye…
MEI 3, 2025TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA ZAMECOMAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANIZanzibarKamati ya Wataalamu wa Masuala ya Habari Zanzibar (ZAMECO) ikijumuisha (Klabu yaWaandishi wa Habari Zanzibar (ZPC), Chama cha Waandishi wa Habari WanawakeTanzania (TAMWA…
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIMAJAJI WAANZA KUCHAMBUA KAZI ZA WAANDISHI NA KUKAGUAVYOMBO VYA HABARI KWA AJILI YA TUZO ZA UWIANO WA KIJINSIA2025Jopo la majaji waliobobea katika tasnia ya habari limeanza rasmi kuchambua kazi zawaandishi wa habari wanaowania Tuzo za Uwiano…
TAARIFA KWA KWA VYOMBO VYA HABARIASASI ZA KIRAIA ZAHIMIZA WANAWAKE KUCHUKUA FOMU ZAKUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI NDANI YA VYAMA VYAOAsasizakiraiazinazoshughulikiamasualayawanawakenauongozizinawahamasisha wanawake wote wenye sifa kuchukua fomu za kugombea nafasimbalimbali za uongozi ndani ya vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu ujao…
Waandishi na Wadau wa Habari Zanzibar walilia sheria mpya na rafiki ya habariWaandishi wa Habari Zanzibar wameiomba Serikali kuharakisha mchakato wa upatikanaji wa Sheria mpya na rafiki ya habari ambayo itawawezesha waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari kuwa huru…
CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI WANAWAKETANZANIAP. O. Box 741 Tunguu Zanzibar, TEL: 0242232263Mobile No. 0772378378 Email: info@tamwaznz.or.tz 13 April 2025TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITAMWA ZNZ YAFARIJIKA NA UAMUZI WA ZEC KUTOA PUNGUZO LA ADAKWA WANAWAKE WAGOMBEAChama cha Waandishi wa Habari…
@TAMWA_Zanzibar www.tamwaznz.or.tz 30 Machi 2025TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITAMWA ZNZ YAITAKA JAMII KUCHUKUWA TAHADHARI NA KUWALINDAWATOTO KIPINDI CHA SIKUKUU YA EID-EL-FITRIChama Cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA ZNZ)kinatoa wito kwa wazazi, walezi, na jamii kwa ujumla kuchukua tahadhari…
to Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania P. O. Box 741, Tunguu, ZanzibarMobile No: 0772378378info@tamwaznz.or.tz TITLE OF ACTIVITY: PRODUCTION OF TV SPOTPROJECT: ADVANCING MEDIA ADVOCACY TO RURAL AND URBAN WOMEN AND GIRLS’ IN SEXUAL REPRODUCTIVE HEALTH RIGHTS (SRHR) IN…
NGUVU YA PAMOJA INAHITAJIKA KUFIKIA USAWA WA KIJINSIA KATIKA UONGOZI ZANZIBAR. mwenyekiti wa Bodi TAMWA ZNZ Mwenyekiti wa Bodi ya Chama cha waandishi wahabari Wanawake Tanzania, TAMWA ZNZ, Asha Abdi ameiomba jamii kuacha dhana potofu zinazorudisha nyuma juhudi za wanawake…
WAANDISHI WA HABARI WAHIMIZWA KUANDIKA HABARI ZA HAKI YA AFYA YA UZAZIMkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA ZNZ), Dkt. Mzuri Issa Ali, amewataka waandishi wa habari kuandika habari zinazohusu haki ya afya ya uzazi ili…