Kamati ya Wataalamu wa masuala ya habari Zanzibar (ZAMECO) inapendakuwashukuru wadau wote wa habari na mashirika ya utetezi wa haki zabinaadamu kwa kushiriki katika maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Vyombovya Habari duniani tarehe 3 Mei ambapo kwa Zanzibar yalifanyika…
Post Title: ConsultantTask Assigned: Training on Results-Based Management (RBM), Planning and developingToC for Programme/Projects staff of TAMWA- ZNZ.Project Title: Advocate for the Review of Freedom of Expression Laws(ARFEL) Location:ZanzibarDate: 22nd May, 20241.0INTRODUCTION AND BACKGROUNDTanzania Media Women’s Association is a national…
Tumewahi kuzungumza na Mhe. Rais kuhusu sheria hizi na Waziri pia, nadhani inabidi tupange kuzungumza nao tena ili tuone hili linakwendaje. Haitapendeza hata kidogo tumalize mwaka huu na bado hatujapata mabadiliko ya sheria za habari. Mkurugenzi TAMWA ZNZ, Dkt. Mzuri…
TERMS OF REFERENCE (TOR) TO CUNDUCT MEDIA GAP ANALYSIS: WOMEN’S EQUALITY AND LEADERSHIP OF NATURE-BASED CLIMATE ADAPTATION IN ZANZIBAR. Post Title: Consultant Project Title: ZanzAdapt Project Location: Zanzibar Assignment period: 20/30 days Post Date: 10th May, 2024 Deadline: 20th May…
DATE OF ISSUE: 22nd APRIL, 2024 1.0 INTRODUCTION: Tanzania Media Women’s Association (TAMWA) was established in 1987. TAMWA ZNZ became fully self-governing and operational in both Isles of Unguja and Pemba in 2004. TAMWA’s mission is to advocate for women’s and…
Winners in various categories received their accolades during the award ceremony for outstanding journalists in data journalism on women and leadership, held on March 9th at the SHAA Hall in Zanzibar.
A total of 529 works of journalists from various media outlets have been submitted for consideration in the competition for data journalism excellence awards for women’s leadership reporting. Among these works are radio and television programs, newspaper articles, and content…
Kazi 529 zapokelewa kuwania tuzo za umahiri za uandishi wa habari za takwimu za wanawake na uongozi.
JUMLA ya kazi 529 za waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari zimewasilishwa kwa ajili ya kuwania tuzo za umahiri za uandishi wa habari za takwimu za wanawake na uongozi. Miongoni mwa kazi hizo ni pamoja na vipindi vya…
Hayo yalizungumzwa katika kikao maalum cha ZAECA, Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar (ZAFELA) na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA ZNZ). Mkurugenzi Idara ya Kinga wa ZAECA ndugu Bakar Hassan amesema sheria hiyo ya Kuzuia Rushwa na…
The presence of stringent laws, empowering the Zanzibar Anti-Corruption and Economic Crimes Authority (ZAECA) to investigate all forms of corruption, including sexual corruption within both governmental and non-governmental institutions, and providing adequate protection for witnesses and whistleblowers, will aid in…
